Nimeulizwa NANUKUU-:

Shekhe Nina swali kama ifuatavyo-

Mke nilienae alizaa mtoto WA kike Kwa mume mwengine na Mimi nilizaa mtoto WA kiume Kwa mke mwengine je Hawa watoto inafaa kuoana?

JIBU

BISMILLAH!

Inajuzu mtoto wako wa kiume uliyezaa na mke mwengine, kumuoa binti wa mkeo, aliyezaa na mume mwengine, ambaye huitwa ربيبة yaani binti wako wa kulea, kwa vile umemuoa mama yake.

Rabibah ni haramu kwako kumuoa, lakini si haramu kuolewa na mtoto wako wa kiume uliyezaa na mke mwengine.

والله أعلم

وبالله التوفيق

HIFADHI NDANI YA SIMU YAKO ILI UWEZE KUMTUMIA MWENZAKO!‎ ‎

من السيد عبدالقادر شريف آل الشيخ أبى بكر بن سالم

Imejibiwa na Sayyid Abdulqadir Shareef

Kutoka Masuali na Majibu: Nimeulizwa, NANUKUU:– yanayo jibiwa kila siku kwenye kumbi za Darasa za Mitandaoni, za Sayyid ‎Abdulqadir Shareef Aalish- Shaykh Abi Bakr bin Salim.‎

JIUNGE KWENYE MOJAWAPO WA KUMBI ZA SAYYID ABDULQADIR KWA KUTUMA MAJINA YAKO HALISI MATATU, NA MAHALI ULIPO, KWENDA NAMBA 0786887887 KUPITIA WHATSAP TU!

NI RUHUSA KUNUKUU, kama ilivyo, pasi na kubadilisha au kuongeza chochote, ‎na ‎kuweka kwenye FB yako, ‎WhatsApp, na kwenye Makundi ‎ya ‎Mitandao ya Kijamii za Kiislamu, ‎kwa lengo la kusambaza na ‎kuelimisha ‎Dini. Changia kusambaza ‎Dini, ujipatie thawabu.
kcwajawema@gmail.com

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *